Pages

Labels

Thursday, March 7, 2013

MODEL WA BONGO AFUNGUKA NA MAGAZETI YA UDAKU



Waandishi ni waongo and I'm sayying this again sijawahi kuongea na muandishi yoyote about this...binti kiziwi ni ndugu yangu na sijawahi kujua wat she does to survive na sijawahi kukutana nae airport yoyote akiwa na tatizo lolote so I know nothing on this ones...they bin put me in e lots of headlines I never care thou but this one hurts me more coz it consider my family,so please GLOBAL PUBLISHER muache kuandika vitu vya uongo kupotosha jamii coz ni vingi sana mnaandika vya uongo na kuipotosha jamii...Sandra is my young sisy and anything happens to her ni mapenz ya mungu I'm praying for her but nimehuzunishwa na u guys kuandika uongo wenu ili muuze magazet yenu fake...


Friday, March 1, 2013

TICKETS ZAISHA NDANI YA DAKIKA 10 HII NI SHOW YA BEYONCE



Sekunde kadhaa baada ya tiketi kuingia sokoni kwa ajili ya UK world tour  ya Beyonce inayoitwa
"Mrs. Carter" siku ya juma mosi asubuhi,kuuzika zote ndani ya dakika 10
 (sold out) mashabiki waanza kufurika kwenye internet na malalamiko kwamba
 kila show ticket zimeisha na watu wamejitosheleza (sold out)


lakini masaa machache baadae, scores za ticket zimeanza kujionyesha kupitia katika
sites za brokers wakiziuza kwa paund 660 kila moja, ambayo ni zaidi ya shilingi
1,500,000 za kitanzania, na muuzaji mmoja akiuza ticket 6
kwa paund 2,000 kupitia eBay.


 kuuzika kwa ticket hizo na kumalizika ndani ya dakika 10, kunasababisha kuwepo kwa
tuhuma kuwa inawezekana Beyonce na uongozi wake wamezinunua wenyewe, kama
 justine Beiber na Taylor Swift ambao walikamatwa wakifanya hivyo mwaka jana

KAMA UMEZALIWA LEO FAHAMU UMEZALIWA NA JUSTIN BIEBER



Justin Drew Bieber is a Canadian pop musician, actor, and singer-songwriter. Bieber was discovered in 2008 by American talent manager Scooter Braun, who came across Bieber's videos on YouTube and later became his manager.
Born: March 1, 1994 (age 19), London
Height: 1.70 m
Parents: Pattie Mallette, Jeremy Bieber
Movies and TV shows: Justin Bieber: Never Say Never, Angelina Ballerina: The Next Steps

PICHA ZA NICK MINAJI ZILIZOSAMBAA AKIONESHA MAZIWA YAKE LIVE KWENYE MAANDALIZI YA VIDEO YAKE MPYA



Hapa yupo na frech Montana duh!full mitego


MUIMBAJI DON OMAR, MZEE WA DANZA KUDURO,ANAKABILIWA NA KESI



Muimbaji  Don Omar, mzee wa Danza kuduro, anashtakiwa kwa kuingia katika eneo la mtu bila ruhusa ikiwa ni pamoja na kutumia yatch kwa kurekodia mziki wake huo bila ruhusa ya mmiliki wa yatch hiyo
 
  yatch hiyo inayozungumziwa inaitwa Le Reve, ambayo inaonekana katika dakika ya 2:15 ya video hiyo, ambapo inasemekana aliwaingiza watoto wazuri katika yatch hiyo iliyokuwa imesimama na kurekodi nao..katika dakika hizo ukiangalia vizuri utaona watoto wazuri wakitoka kwenye boat hiyo na kumfata Don Omar ambae alikua anapita na kuondoka nae.

kutoka katika mashtaka hayo, hakuna mtu alieomba ruhusa yoyote ya kutumia wala kushoot kwenye yatch hiyo.
mmiliki wa yatch hiyo, kampuni ya kireno, inamshtaki kwa kuingia eneo husika bila ruhusa na kuichafua kampuni hiyo kwa kuwahusisha na video hiyo ya kihuni

 kampuni hiyo, inamshitaki, Don Omar, record company yake na kila mmoja aliehusika katika utengenezaji wa video hiyo..wakidai mpunga mnene

msemaji wa mwanamziki huyo ameiambia TMZ kuwa Don amekanusha kuhusika chochote katika location za vido hiyo na kusema kampuni iliyorikiod ndio inayohusika na kutafuta location pamojana kukodisha yatch


 

Blogger news

Blogroll

About